Monday, December 10, 2012
CHECK OUT: AFTER SCHOOL BASH ILIVYOTISHA NDANI YA MBALAMWEZI BEACH
MashabikiMwana FA
Baba John akiwa na mtu ambaye amefanana na Diamond Platinum
Huyu ndiye ameibuka kuwa mshindi wa kufanana na mimi dzain tumetokelezea
Kala Jeremiah
B Dozen
Kala Jeremiah akiwa na shabiki wake ambaye atafanya naye remix ya Dear God
Godzilla
Weusi
Shetta
Country Boy
Team D'Wikend Chart Show
DeeAndy na Cloud
Tash akionyesha vitu vyake
Tumetokelezea
Warembo ndani ya After School Bash
Team Kankaraga
Linex Sunday
Team G5 Click
Dj PQ na Dj Choka
Mwana FA
Walter Chilambo mshindi wa Epiqbss akionyesha vitu vyake kwenye stage.
Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee
DeeAndy na Millard Ayo
Tumetokelezea
Stamina
Bob Junior
Dj Zero on 1 n 2
Mr Blue
Adam Mchomvu kwenye stage
Joh Makini
Team Caston
Friday, November 30, 2012
WATU WANNE WALIYOMUIBIA NGUO NA KUMKATA VIDOLE SHARO MILIONEA WAKAMATWA....
Watu wa nne wamekamatwa na jeshi la police wakiwa na Baadhi ya vitu alivyokuwa navyo marehemu Sharo Milionea kama vile Jeans,T-Shert,Viatu,Simu ya mkononi,Pete,Cheni,Tairi moja la gari,pamoja na Battery la gari alilopatanalo ajali marehemu Sharo Milionea....Inasemekana
watu hao waliposhindwa kumvua Pete vidoleni walimkata vidole
vyake....Watuhumiwa hao walikuwa sita wamekamatwa wanne bado wawili
waliokimbia na pesa alizokuwa nazo Maremu Sharo Milionea....
Wednesday, November 28, 2012
Habari ya kweli iliyotokea wiki iliyopita.
Kuna
dada mmoja anasoma chuo buguruni na pia ni mfanyakazi hivyo jioni
akitoka kazini ndipo huenda shule.Sasa akiwa njiani kuelekea chuo
akapigiwa simu na mtu asiyemfahamu akajitambulisha kwamba yeye ni
daktari wa lugaro hosp na kumuulizia habari za mwanae ambae alishawahi
kwenda kumtibu pale na chakushangaza zaidi akataja mpaka aina na rangi
ya nguo aliyovaa siku ile alipokwenda hapo hospitali na yote yalikuwa
kweli.
Na zaidi akamwambia najua sasa hivi unaelekea chuo buguruni na
kweli ilikuwa hivyo, lakini mwishoni akamweleza kwamba kuna mambo
anataka kujua kujua kuhusu hicho chuo hivyo nae anaelekea huko hivyo
akifika tu atamtafuta. Kwa muda wote huo huyo dada hakuweza kabisa
kumkumbuka ila akajipa moyo kwamba yamkini huyo mtu atakuwa anamfahamu
vizuri.
Baada
ya kutoka chuo akiwa na wenzake watatu akawa anawasimulia habari za
huyo mtu ndipo simu yake ikaita,kupokea yule mtu akamwambia nakuona uko
na wenzio wawili mnavuka barabara na kumueleza jinsi alivyovaa sasa
wenzie wakasema huyo mtu anakufahamu haiwezekani hapa tupo watatu kweli
na ameweza kukutambua. Kisha huyo mtu akamwelekeza mahali alipo ambapo
haikuwa mbali na barabara.
Lakini
alipomtazama hakumfahamu kabisa, basi akampa mkono kumsalimia, baada ya
hapo hakujitambua na zaidi alijikuta yuko maeneo ya chuo kikuu cha DSM
akiwa hoi. Kuangalia simu na kila kitu chake kilikuwa salama na
hakufanyiwa kitu chochote, kwa bahati kulikuwa kuna ndugu yake anasoma
chuo hivyo akawasiliana nae ili kupata msaada ikabidi awahishwe
mwananyamala hosp lakini ikaonekana sumu iliyotumika ni kali na dawa
yake wanayo regency hosp,hivyo akawahishwa regency na kupata matibabu.
Baada
ya ufahamu kumrudia akakuta mtu huyo kachukua pesa zote kwenye
mpesa,tigo pesa na bank ( NMB na CRDB) kiasi cha milioni 3, hivyo
inawezekana walipompa sumu alitaja password pasipo kujijua.
Na
bank walipotazama kwenye ATM Camera waliona picha ya huyo mtu na yeye
alimkumbuka vizuri, lakini polisi Kijitonyama wakakiri kwamba kesi hizo
sasa hivi zimetokea mara nyingi na huo mtandao ni mkubwa, walipoenda
kwenye usajili wa simu walikuta ni huyo huyo na jina lake ndilo
alilojitambulisha.Ingawa polisi wameshindwa kumkamata.
Tuesday, November 27, 2012
Subscribe to:
Comments (Atom)


















