Baada ya kutokea kifo cha msanii almaarufu Sharo milionea ,sasa kwa namna
moja au nyingine wasanii mbalimbali na watu wote tumeguswa na msiba huu.Kwa
mujibu wa producer Mona gastar leo asubuhi aliweza kuniambia kwamba
studioni kwake kuna baadhi ya wasanii waliojitokeza kuja ku record ngoma
kwa ajili ya kumuenzi Sharo Milionea.Baada ya hapo ndipo nikaona ujumbe
kutoka Country Boy kupitia katika ukurasa wake wa Facebook huu hapa.
its more about music industry and social issues in and out of bongo land
No comments:
Post a Comment