MAMA AJIFUNGUA OBAMA NA MITT ROMNEY
Millicent Owuor akiwa amewabeba watoto wake wawili wakiume mapacha Barack Obama (kushoto) na Mitt Romney.
Mwanamke mmoja kutoka Siaya kenya amejifungua watoto mapacha wawili siku
ambayo Obama alichaguliwa kwa mara ya pili kuendesha taifa la Marekani
kama Raisi na kuwapa watoto wake majina yake na mpinzani wake Mitt
Romney
Millicent Owuor mwenye miaka 20 alijifugua watoto hao mapacha katika
hospitali ya wilaya ya Siaya umbali kidogo kutoka katika kijiji
walichoishi mababu zake na Obama kinachoitwa Kogelo ambapo sherehe za
kumpongeza Obama zilikua zikiendelea
No comments:
Post a Comment