MWENYEKITI WA YANGA YUSUF MANJI ACHANGIA ELIMU KILOLO ,IRINGA
MWENYEKITI wa klabu ya Yanga Yusuf Manjia(pichani) amechangia kiasi cha shilingi 500,000 kwa ajili ya ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wa kike katika wilaya ya Kilolo mkoani Iringa.
Yusuf Manji ambae ni mkurugenzi wa Quality Group alitoa mchango huo baada ya kuombwa na mkuu wa wilaya ya Kilolo Gerald Guninita ambaye pia ni mdau wa michezo hapa nchini.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi jana mkuu wa wilaya ya Kilolo Guninita alisema kwa pamoja na kumfuta ghafla Manji ofisini kwake ila hakusita kujitolea kuchangia fedha hizo kwa ajili ya kuunga mkono elimu ya wilaya ya Kilolo na kuwa bila kuwa na uboreshaji wa elimu hata wanamichezo bora hawataweza kupatikana hivyo alimpongeza Manji kwa kuwa kiongozi wa michezo wa mfano asiyetazama timu yake pekee na kuangalia chimbuko la wanamichezo waliopo mashuleni.
Guninita alisema mbali ya Manji wengine waliojitokeza kuchangia ni pamoja na mfanyabiashara na kada wa chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa Salim Abri Asas aliyekabidhi mifuko 200 ya saruji yenye thamani ya
Petel
ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya M.M.mechangia bati hizo
kama njia ya kuunga mkono jitihada za kunusuru elimu kwa mtoto wa
kike wilaya ya Kilolo na uboreshaji wa elimu wilaya hiyo mpya
ulioanzishwa na mkuu wa wilaya ya Kilolo Bw Guninita.
No comments:
Post a Comment