Tuesday, January 8, 2013

MVUA ZALETA MAAFA MAKUBWA IRINGA

Wakati  wa  Idodi jimbo la Isimani  wakitazama gari la mkuu  wa shule ya  sekondari Idodi Bw Raymond Mlaso lenye namba  za usajili T 197 ANT ambalo  lilitumbukia katika daraja la Idodi tarafani bada ya  fundi aliyekuwa akiendesha gari hilo  kutoka mjini Iringa kumshinda na kutumbukia katika daraja hilo baada ya taili  moja la mbele na moja la nyuma  kupasuka

No comments:

Post a Comment