
Mwimbaji
wa kundi la P Square la Nigeria, Peter Okoye alikua California Marekani
kwenda kumsalimia mtoto wake wa kiume ambae amepata na girlfriend wake
Lara Omotayo ambae kwa sasa yuko San Francisco Marekani na akiwa huko
atajifungua mtoto wake wa pili na Peter Okoye mwishoni mwa january 2013.






No comments:
Post a Comment