Friday, September 27, 2013

                                  

                                            TAHADHARI TAHADHARI TAHADHARI  KWA WAKAZI WA IRINGA....................................kumeingia wizi mdogomdogo wa simu ambao unajitokeza katika manispaa ya iringa.....kijana mmoja anayefahamika kwa jina la DAVID LAWA amekua kidokozi wa simu za mikononi katika maofisi na sehemu mbalimbali anavyokua muonekano wake ni mtanashati vizur na mwisho wa siku anakuomba simu ampige na kusema anaacha  mizigo yake....na ukija kuangalia akiwa ameondoka unagundua ni mawe kwa hiyo kijana huyo anatafutwa na jeshi la polisi iringa kwa  msaada wa picha yake ni hiii hapa chini

                                         
KWA MSAADA PIGA NAMBA...........0767115584..................ASANTENI

No comments:

Post a Comment