BREAKING NEWS......MOTO WATEKETEZA KIWANDA CHA CHEMI COTEX DAR
Chanzo cha moto huo hakijafahamika ingawaje inahisiwa kuwa huenda ni hitilafu iliyotokana na fundi aliyekuwa akichomelea kitu ndani ya kiwanda hicho.
Wahusika wakuu wa kiwanda hicho hawakuwa katika eneo husika ili kutoa maelezo zaidi. Taarifa zinasema kuwa magari ya kikosi cha zima-moto yalipowasili, watu walianza kuyarushia mawe kiasi cha kutishia usalama wa watu wengine ambao waliamua kuondoka kutoka katika eneo la tukio.
Jitihada za kumtafuta kamanda wa polisi wa kanda maalum ya Dar es Salaam Suelein Kova bado zinaendelea baada ya simu yake kuita bila kupokelewa .(picha na wavuti)








.jpg)









As if his famous mom's divorce wasn't bad enough -- "High School Musical" star Chris Warren
has now filed a lawsuit against BOTH his parents, accusing the pair of
stealing hundreds of thousands of dollars of his child acting money.
Ommy
Dimpoz na Vanessa Mdee wakisindikizwa na AY, jana wamewasili salama
jijini Nairobi Kenya ambako wameenda kushoot video ya Me and You.