Wednesday, February 20, 2013

CHOO CHA WAFANYABIASHARA NJE YA SOKO LA MACHINGA COMPLEX CHAVUNJWA

 Hapa ni eneo la soko la Machinga Complex jijini Dar ambapo pamevunjwa jana na uongozi  wa jijini baada ya kujengwa  choo kiholela eneo hilo ambalo pia limekuwa  likiongoza kwa kutumika kama gereji bubu
 Fundi magari  eneo hilo akishangaa kuona choo chao kimevunjwa
 Hili eneo lipo jirani kabisa na ofisi za TFF

No comments:

Post a Comment