Friday, February 15, 2013

SIKU YA WAPENDANAO YABADILISHA MJI WA IRINGA JANA



Hapa
Hapa vipi mchoma mahindi  eneo la Higlands kapendeza ama?


                                                                                       Mr Gwivaha
                                                                   Dogo  wa bush ndani ya mjini
                                                           Mzee  wa Mihuri eneo la M.R katokelezea
                                                  wa kitaa pia wamependeza kinoma noma
                                                                      Denti kajiachia kivilee
Huyu nae kaamua kutoka kihivi ni mlalahoi Alwatani mpiga picha maarufu mkoa wa Iringa
Mzee  wa matukio  daima katika pozi la siku ya  wapendanao japo siku ya leo haieleweki hakuna mwenye kukualika
                                                     Akina mama mpo ?
Umependeza  mtoto!
Katibu  wa UWT mkoa  wa Iringa Christina Kibiki ametokelezea leo hakuna cha  sare ya kijani ni simba tupu
                           Hapa vipi nayo inahusika hii ?
Duh! home  wanazingua kweli kosa langu  kupendeza leo! kamna anaongea vile
Leo ukipokea  simu tu wanataka tutoke wote  sasa sijui itakuwaje na mimi tayari nina wangu hapa?
Si lazima  kuvaa nyekundu hata sisi  tumetokelezea ama ?
Hakuna aliyemechiucha zaidi  yangu
DJ Nanci akiwa njia panda  asijue  wa  kutoka nae leo hapa ni eneo la Posta mjini Iringa
Kila kitu  ni chekundu  leo Iringa
Hapa kiatu  tu kimemkosesha  kutokelezea
Hapa vipi wadau
Mimi  nitatoka nawe  leo  upo?basi gonga
Mtoto umleavyo ....?
Unaona ? hapa je?
Leo ni siku ya nguo nyekundu
Hivi ni sare za Simba ama vipi?
Veronica Mlungu katibu  wa CWT mkoa  wa Iringa amenoga kweli leo walimu mpo?kiongozi ni mfano

No comments:

Post a Comment