Sunday, February 3, 2013

HUYU NDIE MSAANI MPYA WA LABEL YA JAY_Z "ROC_NATION".


                                                   TIMBALAND



Rapper na Producer Timbaland amesaini mkataba na Record lebel ya Jayz `Roc Nation' unaomtambulisha kama msanii chini ya lebel hio.
Jay-Z ametangaza habari hizi kwenye mtandao wake wa Life + Times kuwa Timbaland yupo chini ya Roc Nation na wanamkaribisha sana. Jayz na Timbaland wamefanya kazi Pamoja kwa Muda Mrefu, kama unakumbuka mwaka 1998 Timbaland alitengeneza wimbo wa Nigga What ,Nigga Who , Wakaja tena kufanya Big Pimpin ,Dirt Off Your Should na Off That ft Drake.

No comments:

Post a Comment