Tuesday, February 12, 2013

SAA CHACHE BAADA YA PAPA KUTANGAZA KUJIUZURU, RADI YAPIGA KANISA LA BASILICA ROMA


Je! Hii ni ishara kutoka kwa Mungu? Sababu amini usiamini saa kadhaa baada ya Papa Benedict XVI kutangaza kuwa atajiuzulu radi kubwa ilipiga kwenye kanisa la St Peter’s Basilica.
Pope+Benedict+XVI+Pope+Benedict+XVI+arrives+9SBA5IV2gxel
Papa Benedict aliwashtua mabilioni ya waumini wa kanisa katoliki duniani kwa kutangaza kuwa atajiuzulu mwishoni mwa mwezi huu.
Papa huyo mwenye miaka 85 amekuwa kiongozi wa kanisa hilo tangu mwaka 2005.

No comments:

Post a Comment