Friday, March 29, 2013

ANCELOTTI ATAMANI KUONA BECKHAM AKIBAKI PSG

Carlo Ancellotti Kocha wa PSG amesema anataka kumwona David Beckham akiendelea kuwepo katika klabu hiyo yenye maskani yake Jijini Paris baada ya muda wake kumalizika mwishoni mwa mwezi Juni.


Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester United na Kiungo wa Real Madrid alijiunga na timu hiyo mwezi Januari mwaka huu.

Ancelotti amesema Beckham hakukosa katika mazoezi jana dhidi ya Montepellier na kwamba atakuwemo katika kikosi kitakachocheza leo.


PSG ina pointi 58 kileleni mwa Ligi Kuu ya Ufaransa ikifuatiwa na Lyon yenye pointi 53.

No comments:

Post a Comment