Monday, March 11, 2013

DAR ES SALAAM MCHANA WA LEO

 Ajali  hii imetokea  jirani kabisa la makao makuu ya kampuni ya Airtel Tanzania  eneo la Moroco jijini Dar es Salaam mchana wa leo kabla ya  mvua  kuanza  kunyesha ,baada ya  dereva  wa lori  hili kushindwa kulimudu vema gari lake na kujikuta anatumbukia katika mtaro

 Mashuhuda  wakishuhudia ajali  hiyo ambayo hata  hivyo haijkasababisha madhara kwa binadamu

No comments:

Post a Comment