Friday, March 29, 2013

PICHA ZAIDI ZA JENGO LILILOPOROMOKA LEO HII

.
Mabaki ya jengo hilo lililoporomoka jijini da es salaam amablo lipo barabara ya morogoro mtaa wa indiana.Endelea kupitia audifacejackson blogspot kwa taarifa ziadi .

Wananchi waliokuwa eneo la tukio kwa ajili ya kusaidia kukoa wakijitahidi bila mafanikio kwa kuwa hapa ni lazima kuwepo na vifaa vya kunyanyua vitu vizito ili kurahisisha zowzi la kuokoa.


No comments:

Post a Comment