MAJERUHI WA GHOROFA DAR WAFIKIA 18 WANNE WAPOTEZA MAISHA
Jitihada za kuwaokoa watu zikiendelea, huku nondo nyembamba zikionekana na kuacha maswali miongoni mwa mashuhuda wa tukio hilo.
Jitihada za kuwaokoa watu zikiendelea.
Jitihada za kuwaokoa watu zikiendelea.
Taarifa zilizotufikia mchana huu
zinadai kuwa idadi ya majeruhi wa ghorofa lililoporomoka jijini Dar
es Salaam imefikia 18 wakati watu wanne wanadaiwa kupoteza maisha
na jitihada za uokoaji bado zinaendelea .
No comments:
Post a Comment