Friday, March 29, 2013

MAJERUHI WA GHOROFA DAR WAFIKIA 18 WANNE WAPOTEZA MAISHA

  Jitihada za kuwaokoa watu zikiendelea, huku nondo nyembamba zikionekana na kuacha maswali miongoni mwa mashuhuda wa tukio hilo.
  Jitihada za kuwaokoa watu zikiendelea.
 Jitihada za kuwaokoa watu zikiendelea.

Taarifa  zilizotufikia mchana  huu zinadai  kuwa  idadi ya majeruhi  wa ghorofa  lililoporomoka  jijini Dar es Salaam imefikia  18  wakati  watu  wanne  wanadaiwa  kupoteza maisha na jitihada za uokoaji  bado  zinaendelea .

No comments:

Post a Comment