Monday, March 11, 2013

POMBE YA ULANZI YATOA AJIRA KWA VIJANA IRINGA

 Vijana  wachuuzi  wa  pombe ya kienyeji aina ya Ulanzi inayotokana na mimea aina ya mianzi wakisafirisha  pombe  hiyo kutoka vijijini kuelekea  mjini Iringa ,debe moja huuzwa kwa TSh 2500
 Vijana  wachuuzi wa pombe aina ya ulanzi  wakiwa katika baiskeli  zao  huku kushoto ni kijana kibarua akifukuza  ili kupata ajira ya  kusukuma baiskeli mlimani kwa  ujira wa Tsh 200 kwa kila Baiskeli 
 Ulanzi umeweza kutoa ajira kwa vijana mkoani Iringa kama wanavyoonekana hawa  pichani  wakiwa katika ajira yao na kuajiri wengine pia

No comments:

Post a Comment