PICHA 4 ZA YALIYOJIRI KATIKA ZIARA YA DK CHENI TANGA
Dr.cheni na Masai Nyotambofu na Mtangazaji wa Breez Fm Radio Leila Tot
Dr.cheni na Masele Cha Pombe na Mtangazaji wa Breez Fm Radio Leila Tot
Dr.cheni Masele Cha Pombe wakiwa kwenye Pozi.
Dr.cheni na Masai Nyotambofu
wakiwa kwenye Pozi.
Dr.Chein alipata Muda wa Kuonana na Gwiji la Lugha Ya Kimasai East Africa Yote Gilliady Severine a.k.a Masai Nyotambofu Pamoja na Masele cha Pombe
Dr. Chein aliwasili Asubuhi na Mapema na Kuanza Kupiga Story na Wachekeshaji Hawa,Hakuwa Peke Yake Pia alikuwa sambamba na mtangazaji wa BREEZ Fm Radio ya Tanga mjini
DR.Chein alifurahi kuonana na Mchekeshaji Masai NyotaMbofu Kutokana na Uwezo wake wa Kuigiza Lugha Ya Kimasai kwa Hali ya Juu.Masai Nyotambofu ni Msanii wa Kuigiza katika Kundi machachali la VITUKO SHOW Chanel 10
Pia Masai Nyotambofu ni Director wa Blog Yake Machachari Kabisa ya masainyotambofu.blogspot.com ambapo kawa Ajiri Zaidi ya Ma Administrator wanne kuifanya Site yake iendelee Kushika Chati
Dr. cheni alipata Muda wa Kupiga Nao Story Karibu Saa Nzima na Baada ya Hapo aliendelea na Ratiba Zake Ndogodogo Hapo Jijini Tanga.
CHANZO: MASAI NYOTAMBOFU
nice and wonderful update i saw here there are so amazing want to see more you can visit
ReplyDelete
ReplyDeletenice update you got here love to see more of this cause they are so nice
Thank you for the sensible critique. Me and my neighbor we were doing some research about this but will never find a useful and nice information like the ones will saw on your website . I think I learned more clear from this post. I am very glad to see such wonderful info being shared freely out there.one thing i should let you know, your way of
ReplyDeletewriting skill has motivate me to start my own blog now.you can click to see all the package i have for you and please don't fail to write me back. thanks for all your effort.
Every one is playing stickman party here https://www.momsall.com/download-stickman-party-mod-apk/
ReplyDelete