Saturday, March 30, 2013

KAULI YA KWANZA BAADA YA LIL WAYNE KUTOKA HOSPITALI NI HII, SOMA HAPA



Rapa Lili Wayne afanya mahojiano na kutoa ufafanuzi wa albamu yake ya 'I'am not a human being'kwa kushindwa kuingia katika orodha ya MTV ya marapa wakali zaidi katika gemu hilo na kuonyesha kuto jali kwa kukosa nafasi hiyo

Lil Wayne alizungumza na kituo cha redio cha power 106 na kufanikiwa kufanya mahojiano yake kwa mara ya kwanza tangu alipolazwa kwa kuzimia mwezi huu

No comments:

Post a Comment